Connect with us

Makala

Kambi Ya Yanga Msimu Wa 2020/2021

Yanga Sc ipo kwenye harakati za kufanya vizuri msimu wa pili wa ligi kuu bara,hivyo hata mabadiliko ya sehemu ya kufanyia mazoezi na makazi yao wamebidi kuyaboresha ili kujenga utulivu zaidi kwa ajili ya msimu wa 2020/2021.

Kambi hiyo ya Yanga iliyopo jijini Dar-es-salaam imejificha Kigamboni katika kijiji cha Maraha ,Avic Town na kimetawaliwa na viwanja vizuri wa kufanyia mazoezi mbalimbali pamoja na appartment za kupumzikia baada ya mazoezi.

Wachezaji pamoja na benchi la ufundi la Yanga Sc wanafarijika na mazingira ya kambi hiyo mpya kwani ni rafiki kwao katika maandalizi ya msimu ujao wa ligi kuu bara inayoanza Jumapili ya Septemba 6,2020.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala