Connect with us

All posts tagged "senzo mazingiza"

  • Senzo Aondoka Yanga sc

    Senzo Mbatha Mazingiza ambaye ni Afisa Mtendaji mkuu wa klabu ya Yanga sc ameachia ngazi nafasi hiyo aliyodumu kwa takribani mwaka...

  • Senzo Atiwa Mbaroni

    Taarifa za kuaminika zinadai mshauri mkuu wa klabu ya Yanga sc Senzo Mbatha Mazingisa amewekwa mbaroni katika kituo cha polisi Oysterbay...

  • Senzo Kimataifa Zaidi

    Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Senzo Mazingisa ni mmoja wa vigogo kadhaa wa soka watakaokuwa wazungumzaji katika Kongamano la Mpira...

  • Uchebe Asimamishwa Simba

    Timu ya Simba sc imemsimamisha kazi kocha mkuu Patrick Aussems mpaka Novemba 28 mwezi huu ambapo kikao cha bodi ya wakurugenzi...

  • Tisa Kutemwa Msimbazi

    Klabu ya Simba ipo mbioni kuachana na mastaa wasiopungua tisa katika kikosi cha sasa wakati wa dirisha dogo mwezi ujao. Wachezaji...

  • Aussems Bado Utata Simba

    Ofisa Mtendaji wa klabu ya Simba, Senzo Mazingisa, amesema Kocha Mbelgiji, Patrick Aussems alimtumia ujumbe ukimwarifu kuwa amepatwa na dharura. Taarifa...

  • Senzo Aongeza Majembe Mawili

    Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Senzo Mazingisa amewateua Rispa Hatibu kuwa kuwa msaidizi wake huku pia akimteua kuwa mkurugenzi wa...

  • Ya Mkude,Chama Yamalizwa Kisomi

    Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Senzo Masingiza amelimaliza kisomi suala la wachezaji Jonas Mkude,Clatous Chama na Gadiel Michael ambao walikua...

More Posts