Stories By Sports Leo
-
Makala
/ 4 years agoAzam Fc Tayari Kuinoa JKT Tanzania Kesho
Kikosi cha Azam Fc tayari kimeshatia nanga makao makuu ya nchi ,mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo wao wa kesho dhidi...
-
Makala
/ 4 years agoKipa Wa Manchester United Kufungashiwa Virago
Mlinda mlango wa manchester United ,David De Gea anatazamiwa kupigwa bei ili kuiongezea mkwanja timu yake katika usajili utakaofanywa msimu huu....
-
Makala
/ 4 years agoClub Brugge Walizwa Tena Na United
Manchester United imeamua kuweka rekodi nzuri tena mbele ya Club Brugge baada ya hapo awali kuwachapa mabao 6-1, jana wameweza kuwalaza...
-
Makala
/ 4 years agoHajji Arejea Mbao Fc Kama Kocha Mkuu
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Mbao Fc ,Abdulmutik Hajji amepewa nafasi na bodi ya Mbao Fc kuinoa timu hiyo kama kocha mkuu...
-
Makala
/ 4 years agoArsenal Wabebwa Na Dakika Za Nyongeza
Arsenal imepokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka Olimpiacos katika mashindano ya ligi UEFA raundi ya 32 yaliyofanyika uwanja wa nyumbani wa...
-
Makala
/ 4 years agoYanga Kukosa Milioni 40 GSM ni Kizaazaa
Timu ya wananachi Yanga Sc imekosa milioni 40 baada ya kukosa matokeo mazuri katika mechi nne mfululizo ambazo zote walitoka sare...
-
Makala
/ 4 years agoNyota Nane Chelsea Wapigiwa Mahesabu
Kocha mkuu wa Chelsea ,Frank Lampard aliyewahi kukichezea kikosi hicho hapo awali kwa kufundishwa na Jose Mourinho ambaye ni kocha mkuu...
-
Makala
/ 4 years agoUlimwengu Wa Michezo Watikiswa Na Corona
Serikali ya China imeamua kusimamisha kwanza shughuli za michezo mbalimbali nchini humo kutokana na kusambaa kwa kasi kwa virusi vya Corona...
-
Makala
/ 4 years agoKihimbwa Arejea Uwanjani
Mchezaji wa Mtibwa Sugar ,Salum Kihimbwa amerejea uwanjani rasmi baada ya kupona majeraha yake akiwa yupo tayari kukabiliana na michezo ijayo...
-
Makala
/ 4 years agoLyon Waipa Kichapo Juventus Cha Bao 1-0
Juventus wameinamishwa kichwa chini baada ya kufungwa bao 1-0 na Lyon katika mchezo uliosimamiwa na refa Jesus Gil kutoka Spain katika...