Friday, May 9, 2025
Home Makala Ndemla Aikoa Mtibwa Sugar

Ndemla Aikoa Mtibwa Sugar

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa klabu ya Mtibwa Sugar Said Ndemla ameikoa klabu yake kukosa alama tatu baada ya kufanikiwa kufunga bao katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Manungu Stadium mkoani Morogoro.

Ndemla alifunga bao hilo dakika ya 15 ya mchezo kwa shuti kali baada ya kupokea pasi nje kidogo ya eneo la hatari la mita 18 na kufumua shuti lililomshinda golikipa Deo ‘Dida’ Munishi wa Mbeya City.

Kutokana na ushindi huo sasa mtibwa imefikisha jumla ya alama 27 huku ikiwa katika nafasi ya nane ya ligi kuu nchini na Mbeya City ikiwa katika nafasi ya saba na alama 28.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.