Thursday, May 8, 2025
Home Makala Arsenal Yaifunga Man utd

Arsenal Yaifunga Man utd

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Arsenal imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Man united katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliofanyika katika uwanja wa Emirates jijini London.

Arsenal waliandika bao la kwanza dakika ya 3 tu kutokana na makosa ya walinzi wa Man United kuokoa mpira wa krosi na kumkuta Bukayo Saka aliyepiga kiki lililopanguliwa na David De Gea na kumkuta mfungaji Nuno Tavares dakika ya 3 ya mchzo na kisha Bukayo Saka akafunga kwa penati dakika ya 32 na Ronaldo alisawazisha dakika mbili baadae na kwenda mapumziko matokeo yakiwa 2-2.

Granit Xhaka ndie aliyezima ndoto za Man utd kumaliza katika nafasi ya nne msimu huu baada ya kufunga bao dakika ya 70 liliwamaliza nguvu Man United na kuongeza pengo la alama mpaka alama 6 huku Arsenal wakiwa na mchezo mmoja mkononi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.