Thursday, May 8, 2025
Home Soka 10 kuwania tuzo ya mchezaji chipukizi 2021

10 kuwania tuzo ya mchezaji chipukizi 2021

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji kinda 10 wametajwa kuwania tuzo ya mchezaji chipukizi kwa mwaka 2021 na jarida la French magazine huku mchuano mkali ukitazamiwa kuwa kati ya Pedri wa Barcelona,Bukayo Saka wa Arsenal na Jude Bellingham wa Dortmund.

Tuzo hiyo inashikiliwa na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa na PSG Kylian Mbappe aliyeshinda mwaka 2020.

Majina kamili ya walioingia katika kinyanganyiro ni kama ifuatavyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.