Sunday, May 11, 2025
Home Soka Yanga Yala Kibano TFF

Yanga Yala Kibano TFF

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imetozwa faini ya kiasi cha shilingi milioni tano baada ya kushindwa kuwasilisha fomu ya wachezaji kwenye kikao cha maandalizi ya Mechi namba 220 kati ya Yanga SC  dhidi ya Tanzania Prisons.

Taarifa iliyotolewa na shirikisho la soka nchini (TFF) inasomeka kama ifuatavyo:

Timu ya Yanga SC imetozwa faini ya Tsh 500,000 (laki tano) kwa kosa la timu hiyo kushindwa kuwasilisha fomu ya wachezaji wao kwenye Pre match meeting ya mchezo uliofanyika Februari 15, 2020 uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Adhabu hiyo imetolewa kwa uzingativu wa kanuni ya 14(3) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.

Image may contain: 1 person, playing a sport, stadium and outdoor

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.