Home Soka Yanga Yakomaa na Kocha Dodoma Jiji

Yanga Yakomaa na Kocha Dodoma Jiji

by Sports Leo
0 comments

Kufuatia kufumuliwa kwa benchi la ufundi la klabu ya Yanga sc klabu hiyo ipo mbioni kumnsa kocha Mfaume Athuman ambaye kwa sasa ni kocha wa makipa wa timu ya Dodoma Jiji Fc.

Mfaume ambaye aliwahi kuidakia klabu ya Yanga sc hapo zamani anawindwa na Yanga sc ili kuchukua nafasi ya Vladmil Niyonkuru ambaye ametimuliwa pamoja na kocha Cedrick Kaze.

Mfaume tayari ameshakubaliana na Yanga sc mambo yote ya msingi lakini changamoto kubwa ni mkataba wake na klabu hiyo yenye maskani yake jijini Dodoma yalipo makao makuu ya nchi hivyo amepewa muda maalumu ili kumalizana na klabu yake hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited