Monday, May 5, 2025
Home Makala Kiduku Kukipiga J’mosi

Kiduku Kukipiga J’mosi

by Sports Leo
0 comments

Bondia Twaha Kiduku anatarajiwa kupanda ulingoni siku ya Jumamosi kuzichapa na Alex Kabangu katika pambano la uzito wa kati la kuwania ubingwa wa UBo litakalofanyika mkoani morogoro.

Pambano hilo la raundi nane litafanyika mkoani Morogoro ambako ni nyumbani kwa kina Kiduku ambapo viingilio vitakua ni elfu 10 na ishirini huku upande wa viti maalumu itakua elfu 30.

Mratibu wa pambano hilo, Bakari Khatibu amesema kuwa maandalizi ya pambano yamekamilika kwa asilimia 100 huku akiwataka wadau wangumi nchini kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano hilo.

banner

“Maandalizi kwa upande wetu ni mazuri tunashukuru Mungu tayari Kabangu ameshaingia na yupo hapa Morogoro, tunachosubiria ni siku kufika kwa ajili ya mambo mengine”.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.