Home Makala TFF Yazuia Mechi Za Kirafiki

TFF Yazuia Mechi Za Kirafiki

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la Soka nchini (Tff) limezuia mecho zote za kirafiki za ligi kuu na ligi za daraja la kwanza nchini mpaka hapo litakapotoa utaratibu mpya ili kuzuia maambukizi ya Virusi vya Corona.

Katika taarifa iliyotumwa na shirikisho hilo kwenda kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba timu husika inayotaka mechi za kirafiki inatakiwa kuwasiliana kwanza na Tff ili kupata mwongozo juu ya kujikinga na Virusi hivyo.

Hilo limefuatia baada ya picha mbalimbali kusambaa zikionyesha baadhi ya michezo ya kirafiki ambapo mashabiki walikua wamekusanyika bila kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa huo huku shirikisho hilo likibainisha kuwa litakutana na timu ya Yanga,Simba,Kmc na Transtcamp pamoja na Azam fc kujadili suala hilo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.