Saturday, May 10, 2025
Home Makala Nyota Wa Real Madrid Avunjika

Nyota Wa Real Madrid Avunjika

by Sports Leo
0 comments

Nyota wa Real Madrid ,Luka Jovic atakosekana katika mazoezi ya pamoja ya timu yake ikirejea katika maandalizi ya kumalizia msimu huu kwani amethibitisha kuvunjika mfupa katika mguu wake wakati akifanya mazoezi binafsi nyumbani kwake siku ya Alhamisi.

Real Madrid wanajiandaa kuanza mazoezi rasmi siku ya Jumatatu kwa ajili ya kusubiri kurejea kwa ligi kuu Hispani,La Liga 2019/2020 kwa kufuata taratibu zote za kiafya wakiwa mazoezini ili kuepukana na virusi vya Corona.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.