Wednesday, May 7, 2025
Home Makala Mshambuliaji Simba Aomba Namba Yanga

Mshambuliaji Simba Aomba Namba Yanga

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji  wa zamani wa Simba mwenye asili ya Urundi, Laudit Mavugo amesema kuwa anatamani kuona anarejea kuchezea timu kubwa tena nchini Tanzania ikiwemo Yanga kwani lengo lake ni kutaka kuthibitisha ubora wake.
Mavugo kwa sasa anakipiga katika klabu ya Napsa Stars ya Zambia ambapo katika msimu uliopita alifanikiwa kuibuka mfungaji bora licha kwa msimu miwili aliyocheza Simba hakufanikiwa kuonyesha bora wake kwenye eneo la ufungaji.
“Unajua timu kubwa kwa Tanzania zinajulikana kama vile Yanga au Azam Fc hivyo nadhani itakuwa sawa kwangu kuweza kuthibitisha kile ambacho kilionekana kuwa kipo tofauti wakati nacheza Simba sasa kama ikitokea ofa nitakubali kuja hata kama ni Yanga,” alisema Mavugo.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.