Connect with us

Makala

Mshambuliaji Simba Aomba Namba Yanga

Mshambuliaji  wa zamani wa Simba mwenye asili ya Urundi, Laudit Mavugo amesema kuwa anatamani kuona anarejea kuchezea timu kubwa tena nchini Tanzania ikiwemo Yanga kwani lengo lake ni kutaka kuthibitisha ubora wake.
Mavugo kwa sasa anakipiga katika klabu ya Napsa Stars ya Zambia ambapo katika msimu uliopita alifanikiwa kuibuka mfungaji bora licha kwa msimu miwili aliyocheza Simba hakufanikiwa kuonyesha bora wake kwenye eneo la ufungaji.
“Unajua timu kubwa kwa Tanzania zinajulikana kama vile Yanga au Azam Fc hivyo nadhani itakuwa sawa kwangu kuweza kuthibitisha kile ambacho kilionekana kuwa kipo tofauti wakati nacheza Simba sasa kama ikitokea ofa nitakubali kuja hata kama ni Yanga,” alisema Mavugo.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala