Friday, May 9, 2025
Home Makala Mo Akutana na Mastaa Simba sc

Mo Akutana na Mastaa Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Mwenyekiti wa zamani wa bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba sc Bilionea Mohamed Dewji amekutana na wachezaji na viongozi wa klabu hiyo katika kikao cha pamoja baada kurejea nchini akitokea nje alipokua katika shughuli zake za kibiashara.

Mo ambaye ni Rais wa heshima wa klabu hiyo amekutana na wachezaji wa klabu hiyo kujadili mambo mbalimbali huku kubwa ikielezwa ni mwenendo wa timu hiyo kwenye ligi kuu pamoja na michuano ya kimataifa ambayo inatarajiwa kuanza siku ya jumapili ambapo klabu hiyo itavaana na timu ya Asec Mimosa ya nchini Ivory Coast.

Simba sc itaanza kampeni yake katika michuano ya kombe la shirikisho ikiwavaa Asec Mimosa kisha baada ya siku sita itawavaa USGN na baadae kucheza na Rs Berkane Februari 27.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.