Timu ya taifa ya Uganda imefuzu hatua ya mtoano ya michuano ya mataifa ya Afrika(Afcon) licha ya jana kufungwa kwa magoli mawili kwa bila na wenyeji Misri waliojipatia magoli hayo …
AFCON
-
-
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania(Taifa stars) Emmanuel Amunike amemvaa kiungo wa Yanga Feisal Salum “Fei toto” juu ya kadi za njano anazopata mara kwa mara. Kocha huyo mnigeria …
-
Timu ya Taifa ya Misri imeanza vizuri michuano ya mataifa ya Afrika baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao moja kwa bila dhidi ya Zimbabwe katika mchezo wa ufunguzi …
-
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars) Emmanuel Amunike amemuita kikosini beki wa Azam Fc David Mwantika kwenda kuchukua nafasi ya mchezaji mwenzake wa klabu hiyo Aggrey Morris …
-
Timu ya soka ya taifa ya Tanzania(Taifa stars) inatarajiwa kuagwa leo mchana katika kambi ya timu iliyopo katika hoteli ya Whitesand jijini Dar es salaam. Timu hiyo inatarajiwa kuondoka kesho …
-
Beki wa Simba sc Shomari Kapombe ana hatihati ya kutokwenda katika michuano ya mataifa ya Afrika(Afcon) baada ya kutopona majeraha yake kwa asilimia 100.Kapombe aliyeumia katika kambi ya siku kumi …
-
Nigeria’s skipper John Obi Mikel has handed the Super Eagles a major boost after confirming his return to the national squad following a successful meeting with the team’s tactician Gernot …