Friday, May 9, 2025
Home Soka Ninja,Carlinhos Kuwakosa Namungo Fc

Ninja,Carlinhos Kuwakosa Namungo Fc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc itawakosa wachezaji wake sita kuelekea katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo Fc utakaofanyika siku ya jumamosi katika uwanja wa Majaliwa mjini Ruangwa kutokana na sababu mbalimbali.

Farid Musa,Carlos Carlinhos,Haruna Niyonzima,Balama Mapinduzi wote wakisumbuliwa na majeruhi mbalimbali pamoja na kukosa utimamu wa mwili kuelekea mchezo huo huku Abdalla Shaibu Ninja na Yassin Mustapha nao wakiwa wanamalizia matibabu yao ya mwisho.

Tayari kikosi cha Yanga sc kimeondoka jijini Dar es salaam na kuweka kambi katika mkoa wa Mtwara kujiandaa na mchezo huo mkali wakijiandaa kutua Ruangwa siku ya Ijumaa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.