Home Soka Namungo Yakubali Kichapo

Namungo Yakubali Kichapo

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Namungo Fc imekubali kipigo cha 1-0 kutoka kwa Yanga sc katika mchezo wa kombe la mapinduzi uliofanyika katika uwanja wa Amani visiwani Zanzibar.

Bao pekee la faulo lililofungwa na Zawadi Mauya aliyepokea pasi kutoka kwa Haruna Niyonzima lilitosha kupeleka kilio mpaka mkoani Mtwara yalipo makazi ya klabu hiyo.

Namungo Fc sasa itavaana na Jamhuri ambao walitoka suluhu na Yanga sc ili kuamua washindi wa kuingia hatua inayofuata.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.