Friday, May 9, 2025
Home Soka Msuva Atua Wydad Casablanca

Msuva Atua Wydad Casablanca

by Sports Leo
0 comments

Winga wa Kitanzania Simon Msuva ametua kunako klabu ya Wydad Casablanca akitokea katika klabu ya Difaa El-Jadid kwa mkataba wa miaka minne.

Msuva alijiunga na Difaa akitokea Yanga sc mwaka 2017 na baada ya kucheza kwa mafanikio makubwa winga huyo mwenye kasi anatua katika klabu hiyo ya Wyadad ambayo ina mafanikio makubwa katika soka la ndani nchini Morroco na Afrika kwa ujumla.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.