Home Soka Morrison,Yanga Utata Mtupu

Morrison,Yanga Utata Mtupu

by Sports Leo
0 comments

Sintofahamu imeibuka katika klabu ya Yanga sc baada ya staa wa timu hiyo Benard Morrisson kutosafiri na timu huku ripoti zikidai kwamba staa huyo amezima simu.

Taarifa za ndani zinadai kwamba staa huyo hafurahishwi na jinsi mambo yanavyoendeshwa klabuni humo ikiwemo suala la timu kusafiri umbali mrefu kwa basi kuelekea mkoani Shinyanga.

Hata hivyo baadhi ya taarifa zinasambaa kuwa mkataba wa staa huyo unaisha wiki ijayo na anataka asainishwe mpya kama walivyokubaliana kwa kiasi cha dola elfu sabini ambazo anataka alipwe kwa wakati mmoja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.