Home Soka Maproo 6 Wapya Kushiriki Kagame Yanga sc

Maproo 6 Wapya Kushiriki Kagame Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imeamua kuwashirikisha wachezaji 6 wapya itakaowatangaza kuwasajili katika kikosi kipya cha klabu hiyo kitakachoshiriki michuano ya Kagame Cup itkayofanyika nchini mapema mwezi Augusti mwaka huu.

Katika kikosi hicho kipya mastaa wa kikosi cha kwanza wamepewa mapumziko ispokua baadhi ya mastaa wakiwemo Juma Mahadhi,Balama Mapinduzi,Yassin Mustapha,Abdala shaibu,Ramadhani Kabwili na Paulo Godfrey watashiriki huku vijana 10 kutoka timu B nao wakija kuongeza nguvu.

Mastaa wapya waliosajili klabuni hapo wanatajwa kuwa na Djuma Shabani,Ibrahim Ajibu,Herritier Makambo na Fiston Mayele.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.