Home Soka Kocha Yanga Kutua Kesho

Kocha Yanga Kutua Kesho

by Sports Leo
0 comments

Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael atawasili kesho Jumatano saa 7:20 mchana tayari kuungana na kikosi kwa ajili ya mwendelezo wa mechi za Ligi na Kombe la FA akitokea nchini Ubeligiji alikokua mapumzikoni baada ya ligi kusimamishwa kufuatia kusambaa kwa maambukizi ya Virusi vya Corona nchini.

Luc anatarajiwa kuwasili kesho saa saba mchana baada ya kuchelewa kupata ndege kufuatia nchi nyingi duniani kufunga mipaka na anga la ndege.

Taarifa za kocha huyo kuwasili nchini zimethibitishwa na klabu ya Yanga kupitia mtandao wa Yanga App ambako mpaka sasa zaidi wananchama 26000 wamejiunga kupata habari za klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.