Wednesday, May 7, 2025
Home Soka Benzema Aiadhibu Chelsea

Benzema Aiadhibu Chelsea

by Sports Leo
0 comments

Mabao matatau ya Karim Benzema yalitosha kutuma salamu kwa Chelsea kujipanga katika mchezo ujao wa hatua ya marudiano jijini Madridi baada ya kuwaadhibu kwa jumla ya mabao 3-1 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Stamford Bridge jijini London.

Ilimchukua dakika 45 za kipindi cha kwanza kwa staa huyo kuwaadhibu Chelsea kwa kufunga mabao mawili ya haraka ndani ya dakika tatu yaani dakika ya 21 na 24 kwa kichwa huku akiwapeleka Chelsea mapumziko wakiwa nyuma kwa mabao 3-1 baada ya Kai Harvetz kuwapatia wenyeji bao la kufutia machozi dakika ya 40.

Chelsea inawabidi wajipange kuwadhibiti Benzema na ViniciusJr ambao ushirikiano wao umekua hatari huku wakifanya mashambulizi hatarishi mara kwa mara langoni kwa Chelsea.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.