Saturday, May 10, 2025
Home Makala Tottenham Wagoma kumuuza Eriksen

Tottenham Wagoma kumuuza Eriksen

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa Tottenham Christian Eriksen agomewa kuuzwa na uongozi wake katika timu ya Inter Milan kwa dau la pauni milioni 10 ambalo liliwekwa mezani na mabosi hao ili kupata saini ya mchezaji huyo.

Christian Eriksen mkataba wake unakaribia kufikia ukingoni lakini mabosi wa Tottenham hawajapata presha kwani wamekomaa na wanahitaji mara mbili ya dau hilo yaani pauni milioni 20 ndipo Inter Milan wafikiriwe kumpata nyota huyo.

Kocha wa Tottenham Jose Morurinho amesema kuwa endapo mchezaji huyo ataachiwa na kuwa mchezaji huru Eriksen alishawahi kumuambia matamanio yake ni kucheza ndani ya Real Madril na Barcelona hivyo lengo lake litakamilika  kwani anajiamini kuwa ni mchezaji bora.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.