Wednesday, May 7, 2025
Home Makala Simchimba Ajifunga Azam Fc Hadi 2023

Simchimba Ajifunga Azam Fc Hadi 2023

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Azam Fc, Andrew Simchimba ambaye alikuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba Sc waliokuwa wanahitaji saini yake msimu wa dirisha dogo na dili lao kutibuliwa amejifunga ndani ya klabu ya Azam kwa kandarasi ya miaka mitatu.

Nyota huyo aliyekuwa anakipiga Coastal Union hapo awali na kurejea Azam Fc mkataba wake ulikuwa umalizike mwaka huu mwezi Septemba lakini ameongezewa kandarasi ya miaka mitatu ambapo atadumu hapo hadi 2023.

Uongozi wa Azam Fc umekuwa unamuamini Simchimba kwani amekuwa akitimiza majukumu yake kwenye timu hiyo kama ipasavyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.