Thursday, May 8, 2025
Home Makala Pogba Arejea Mazoezini

Pogba Arejea Mazoezini

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba amerejea katika mazoezi  baada ya kuwa nje kutokana na kupata maambukizi ya virusi vya Corona.

Pogba ana uwezekano mkubwa wa kutocheza mchezo wa kwanza ndani ya Premier Septemba 19 ambapo klabu yake ya Man United itavaana na Crystal Palace kwenye uwanja wa Old Trafford.

Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer amesema kuwa,kurejea kwa Pogba kwenye mazoezi hakumpi asilimia 100 kuwa atashiriki mechi ya kwanza kwani hayupo kwenye sehemu ya kikosi ambacho kinaendelea na mazoezi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.