Thursday, May 8, 2025
Home Makala Pjanic Agoma Kuibukia Manchester United

Pjanic Agoma Kuibukia Manchester United

by Sports Leo
0 comments

Nyota anayekipiga ndani ya klabu ya Juvevtus, Miralem Pjanic amegomea dili la kujiunga Manchester United na PSG licha ya habari kueleza kuwa ana mpango wa kusepa ndani ya Juventus kutokana na kukosa nafasi kwenye kikosi hicho.

Awali ilielezwa kuwa anaweza kujiunga na Manchester United kwa kuwa aliwahi kunukuliwa akisema kuwa anahitaji kuchezea ligi kuu ya England ila taarifa zinaeleza kuwa anataka kwenda Barcelona.

Pjanic amejiunga Juventus mwaka 2016 huku akifanikiwa kucheza jumla ya mechi 167 na kutwaa mataji sita makubwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.