Friday, May 9, 2025
Home Makala Ligi Raundi Ya Sita Inaanza Hivi

Ligi Raundi Ya Sita Inaanza Hivi

by Sports Leo
0 comments

Ligi kuu Tanzania Bara raundi ya sita inaendelea leo Octoba 14,ambapo timu nane zitavaana katika viwanja vinne tofauti kwaajili ya kusaka pointi tatu muhimu.

Raundi ya tano ilimalizika na kuwaacha Azam Fc wakiwa ni vinara kwa pointi 15 huku Simba Sc wakishika namba 2 na pointi 13 sawa na Yanga sc ambao wameshika nafasi ya tatu kwa mpishano wa mabao.

Leo katika raundi ya sita,Biashara United itawakaribisha Ihefu Fc uwanja wa Karume majira ya saa 10:00 jioni huku JKT Tanzania ikivaana na Ruvu Shooting saa 8:00 mchana katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

banner

KMC ambao ni vijana wa Kinondoni itawakaribisha Coastal Union uwanja wa Uhuru saa 10:00 jioni huku Namungo Fc ikipambana dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Majaliwa majira ya saa 10:00 jioni.a

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.