Tuesday, May 13, 2025
Home Makala Ligi Kuu Ufaransa Yafutwa

Ligi Kuu Ufaransa Yafutwa

by Sports Leo
0 comments

Serikali ya Ufaransa imezuia kuendelea kwa michezo hadi Septemba mwaka huu, huku Waziri Mkuu wa Ufaransa, Edouard Philippe akisema msimu wa 2019/20 umekwisha kwani hawawezi kuingia uwanjani bila ya mashabiki .

Awali matumaini ya chama cha soka Ufaransa ilikuwa ni kwamba ligi zao zitaendelea Juni 17 na msimu kumalizika Julai 25 baada ya ligi kusitishwa Machi 13 mwaka huu kutokana na kukumbwa na virusi vya corona vilivyoingia Duniani.

Mabingwa watetezi wa Ligue 1, Paris St-Germain wanaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 12 mbele ya Marseille, huku Toulouse wapo mkiani wakiwa na pointi 17 juu yao wapo Amiens waliowaacha kwa pointi kumi.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.