Saturday, May 10, 2025
Home Makala Offside Zamuibua Mwakyembe

Offside Zamuibua Mwakyembe

by Sports Leo
0 comments

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe kupitia jamhuri ya muungano wa Tanzania ameliagiza Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kufuatilia kwa karibu malalamiko yote yanayotolewa na wadau wa soka mara kwa mara katika Ligi Kuu na ligi nyingine
Dk Mwakyembe ameliagiza Baraza hilo kutoa mrejesho wa agizo hilo ndani ya siku tatu
“Wizara inaendelea kupokea tuhuma mbalimbali za uonevu katika mashindano ya Ligi mbalimbali za mpira wa miguu yanayoendelea nchini lakini wadau hawaoni hatua zikichukuliwa mara moja na kupatiwa mrejesho” alisema dkt.Mwakyembe

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.