Friday, May 9, 2025
Home Makala Hatimaye Morrison Kuwasilisha Mkataba Yanga

Hatimaye Morrison Kuwasilisha Mkataba Yanga

by Sports Leo
0 comments

Kiungo mshambuliaji wa Yanga,Bernard Morrison amerejesha leo mkataba wake kwa mabosi wake ambao ni kampuni ya GSM kupitia kwa Mkurugenzi wa uwekezaji Hersi Said baada ya kumalizana nao muda mrefu alipotua ndani ya Yanga.

Morrison alisaini mkataba huo wa miaka miwili mwezi Februari kabla ya mechi ya Machi 8 dhidi ya Simba ambapo alifunga bao pekee la ushindi dakika ya 44 lililoipa pointi tatu Yanga, Uwanja wa Taifa.

Morrison hakurudisha mkataba wake kwa mabosi wake ila leo ameamua kuuwasilisha baada ya tetesi kuwa ameingia kwenye anga za Simba ambao walikuwa wanaiwinda saini yake.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.