Sunday, May 11, 2025
Home Makala Barca Yarudi Kileleni

Barca Yarudi Kileleni

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Barcelona fc jana imerudi kileleli mw ligi ku nchini humo baada ya kuifunga klabu ya Athletic Bilbao kwa bao 1-o.

Bao hilo lilifungwana kiungo raia wa Crotia Ivan Raktic dakika ya 71 na kumfanya nahodha wa klabu hiyo Lionel Messi kusherehekea siku yake ya kutimiza miaka 33 kwa furaha ya ushindi huku pia akiwa na magoli 699 katika michuano yote klabuni hapo.

Barca imefikisha jumla ya alama 68 na kurudi kileleni mwa ligi ya La liga huku mahasimu wao wakuu Real Madrid wakiwa na alama 65 pamoja na mchezo mmoja mkononi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.