Sunday, May 11, 2025
Home Makala Gormahia Yatembeza Bakuli

Gormahia Yatembeza Bakuli

by Sports Leo
0 comments

Kama ulijua bakula linatembezwa jangwani pekee basi utakua umechemsha baada ya mfumo huo wa kuomba michango kuiangukia klabu ya Gormahia ya nchini kenya baada ya kutetereka kiuchumi siku za hivi karibuni.

Klabu hiyo imekua na wakati mgumu tangu wadhamini wake kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sportspesa kujitoa kudhamini klabu hiyo kutokana na kodi kubwa iliyowekwa katika michezo ya kubahatisha.

Gormahia wanaandaa hafla ya kuchangisha fedha ili kuweza kushiriki mechi ya mkondo wa kwanza wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya Us Alger kutoka nchini Algeria mechi ambayo wakishinda wataenda hatua ya makundi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.