Tuesday, May 13, 2025
Home Soka Usajili Wa Kisomi Msimbazi

Usajili Wa Kisomi Msimbazi

by Sports Leo
0 comments

Bosi mpya wa klabu ya Simba sc Senzo Masingizi ameahidi kufanya usajili wa kisomi klabuni hapo ili kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika ligi kuu na michuano ya kimataifa.

Bosi huyo aliyewahi kuwa mjumbe katika shirikisho la soka la Afrika kusini amesema atahakikisha anasajili wachezaji wenye viwango vikubwa ili kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri.

“Nitasimamia suala la usajili kuona Simba inapata wachezaji wa juu ambao watakuwa na uwezo wa kuichezea timu, kuhakikisha kuwa inatwaa ubingwa wa ligi kwa mara nyingine tena, Alisema Masingizi

banner

Bosi huyo amefanikiwa kupata nafasi hiyo ya kumrithi Crecentious Magori baada ya kuwashinda wengine saba ambao walifanyiwa usaili na timu hiyo.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.