Tuesday, May 6, 2025
Home Soka Yondani Atua Polisi Tanzania

Yondani Atua Polisi Tanzania

by Sports Leo
0 comments

Beki Kelvin Yondani ametua katika klabu ya Polisi Tanzania kama mchezaji huru baada ya kuachana na Yanga sc msimu uliopita kutokana na kushindwana katika maslahi.

Beki huyo mkongwe ametua Polisi Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja ambao utaisha rasmi januari mwakani.

Polisi Tanzania itafaidika na uwepo wa mkongwe huyo kutokana na kuwa na uzoefu wa kutosha kucheza ligi kuu nchini akiwa amezichezea Simba sc na Yanga sc kwa mafanikio makubwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.