Thursday, May 8, 2025
Home Soka Yanga sc Kurudi Kambini Leo

Yanga sc Kurudi Kambini Leo

by Sports Leo
0 comments

Mastaa wa kikosi cha Yanga sc wanatarajiwa kurudi kambini hii leo baada ya kupewa mapumziko ya siku mbili kwa ajili ya maombolezo ya msiba wa aliyekua Rais ya Jmt John Pombe Magufuri.

Mastaa hao walikua wanajifua kambini Avic Town kigamboni lakini waliruhusiwa siku ya Jumatatu na Jumanne kupumzika huku wakipata wasaa wa kumuaga Rais Magufuri aliyefariki machi 17.

Kurejea kwa mastaa hao kunamaanisha kuwa klabu hiyo itakua katika maandalizi kabambe ya kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Kmc huku pia wakitarajiwa kuwavaa Prisons katika mchezo wa kombe la Fa mkoani Sumbawanga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.