Wednesday, May 14, 2025
Home Soka Uhuru Asajiliwa Fc Lupopo

Uhuru Asajiliwa Fc Lupopo

by Sports Leo
0 comments

Winga wa zamani wa Simba sc na Royal Eagle ya South Afrika Uhuru Selemani amejiunga na timu ya Fc lupopo inayoshiriki ligi kuu nchini Kongo baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.

Uhuru aliyeichezea timu ya taifa ya Tanzania enzi za kocha Marcio Maximo aliondoka Simba sc na kujiunga na timu mbalimbali na kisha kutua Royal Eagle ya nchini Afrika kusini kabla ya kuachana na timu hiyo.

Winga huyo anaingia kwenye historia ya kuwa wachezaji wachache kutoka Tanzania kucheza katika ligi kuu nchini Kongo akiungana na Mbwana Samatta,Thomas Ulimwengu,Mussa Hassan Mgosi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.