Thursday, May 8, 2025
Home Soka ‘Tuko Tayari’-Ibenge

‘Tuko Tayari’-Ibenge

by Sports Leo
0 comments

Benchi la ufundi la AS Vita chini ya Kocha Florent Ibenge  limesema kuwa liko tayari kupokea matokeo yoyote kwenye mechi yao ya kesho dhidi ya Simba sc itakayofanyika katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam

Kocha wa AS Vita, Florent Ibenge amesema kuwa hawako tayari kujiweka kwenye presha kubwa katika mchezo huo na aina yoyote ya matokeo yatakayopatikana watayapokea.

“Siku zote tumekuwa tukifurahia kucheza na ni furaha kubwa zaidi kucheza na timu kama Simba ambayo ni miongoni mwa timu bora na nzuri Afrika.

banner

“Tulicheza mechi ya kwanza kule DR Congo na tukashindwa kufanya kama tulivyotarajia tukapoteza mchezo hivyo tumekuja hapa tukiamini tukicheza kama tulivyopanga tutapata matokeo tunayoyahitaji.
.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.