Thursday, May 8, 2025
Home Soka Tanzania Yafuzu Afcon ya Ufukweni

Tanzania Yafuzu Afcon ya Ufukweni

by Sports Leo
0 comments

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la Ufukweni imefuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) baada ya ushindi wa jumla wa mabao 12-9 dhidi ya Burundi katika michezo yote iliyochezwa katika fukwe za Coco Dar es salaam.

Licha ya leo Tanzania kufungwa mabao 6-4 katika mchezo wa marudiano lakini ushindi wa mabao 8-3 katika mchezo wa kwanza umewabeba Tanzania.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.