Home Soka Sterling Asababisha Rais Kujiuzulu

Sterling Asababisha Rais Kujiuzulu

by Sports Leo
0 comments

Rais w shirikisho la soka la Bulgaria Borislav Mihaylov amejiuzulu nafasi hiyo kufuatia vitendo vya ubaguzi wa rangi vilivyoonyesha na mashabiki pamoja na wachezaji wa taifa hilo katika mchezo dhidi ya England kuwania nafasi ya kufuzu michuano ya mataifa ya ulaya mwaka 2020.

mashabiki waliokua wakitoa ishara za kibaguzi uwanjani hapo.

Mchezo huo ambao ulifanyika katika mji wa Safia nchini humo uliisha kwa England kuibuka na ushindi wa mabao 6-0 mabao ya marcus rashford,Raheem sterling(2),Delle Ali(2) na Harry Kane ambapo mchezo ulilazimika kusimama mara mbili kufuatia ubaguzi huo kwa wachezaji weusi wa England akiwemo Raheem Sterling.

Rais huyo amejiuzulu kufuatia shinikizo la waziri mkuu wa nchi hiyo aliyemtaka rais huyo kujiuzulu kufuatia tukio hilo lisilokubalika katika michezo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.