Tuesday, May 6, 2025
Home Soka Simba,Okwi Wafikia Patamu

Simba,Okwi Wafikia Patamu

by Sports Leo
0 comments

Ile inshu ya kuongeza mkataba ya staa wa Simba Emmanuel Okwi ni kama inaelekea mwishoni baada ya staa huyo kukubaliana baadhi ya vipengele na vigogo wa Simba walioko nchini Misri kuisapoti timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars).

Mganda huyo hapo awali aligoma kusaini mkataba mpya na klabu hiyo huku akionyesha viasharia vya kutaka kuondoka klabuni hapo huku taarifa zikidai timu ya Kaizer Chiefs ya Afrika ya kusini inammendea staa huyo mwenye uwezo wa kucheza nafasi tofautitofauti za ushambuliaji.

”Okwi ameonesha nia ya kuendelea kusalia na sisi baada ya kufanya mazungumzo naye hapa misri hivyo tunatumaini kama hatobadili msimamo wake basi atasaini hivi karibuni”kilisema chanzo chetu cha habari.

banner

Okwi amekua mchezaji muhimu kwa mabingwa hao mara mbili mfululizo wa ligi kuu ya Tanzania bara msimu huu akishirikiana na Meddie Kagere  na John Boko.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.