Thursday, May 8, 2025
Home Soka Msuva,Samatta Kuwasili Stars

Msuva,Samatta Kuwasili Stars

by Sports Leo
0 comments

Nahodha wa Timu ya Taifa ya Taifa Stars Mbwana Samatta ‘Poppa’ na washambuliaji Simon Msuva na Yohana Mkomola wanatarajiwa kuwasili kwenye kambi ya timu hiyo mapema Leo.
Taarifa kutoka Jijini Nairobi, Kenya ilipo kambi ya Stars zinaeleza kuwa nyota hao watatu watawasiri mapema kesho nchini humo tayari kwa kuungana na wenzao ambao wapo hapo kambini tangu Machi 13 mwaka huu.
Nyota hao walichelewa kufika kambini hapo kutokana na kuwa na majukumu mengine ya klabu zao, Samatta Akiwa Fenerbahce ya Uturuki, Msuva akiwa  Wydad Casablanca ya Morocco  na Mkomola akiwa Ingulets Petrove ya Ukraine.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.