Thursday, May 8, 2025
Home Soka Molinga,Luc Wawafata Mwadui Kibabe

Molinga,Luc Wawafata Mwadui Kibabe

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa klabu ya Yanga Luc Eymael pamoja na mshambuliaji David Molinga wamepanda ndege kuelekea mjini Shinyanga kuwavaa Mwadui Fc kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara utakaofanyika hapo kesho.

Awali Luc alichelewa kuwasili baada ya kukosa ndege kuja nchini hivyo kuikuta timu ikiwa imetangulia kwa basi wakati Molinga aliachwa baada ya kutokea sintofahamu huku ikielezwa kuwa ana matatizo ya kinidhamu japo mwenyewe alikanusha habari hizo.

Kusafiri kwa wawili hao ni nafuu kwa mashabiki wa Yanga sc kuelekea mchezo huo baada ya timu hiyo kukosa utulivu hasa katika uongozi kutokana na migongano kadhaa inayojitokeza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.