Home Soka Molinga Azua Sekeseke Yanga

Molinga Azua Sekeseke Yanga

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga David Molinga amegoma kusafiri na timu kwenda mkoani Shinyanga kucheza na Mwadui kwa kudai kuwa timu hiyo inapendelea baadhi ya wachezaji.

Molinga amelalamika kwa madai ya kuwa kocha Bonifasi Mkwasa anawapendelea baadhi ya mastaa katika timu hiyo wakiwemo Haruna Niyonzima na Benard Morrison kwa madai ya kuwapa nafasi mara kwa mara hata kama hawajafanya mazoezi na timu.

Staa huyo aliyebakiza mkataba wa miaka miwili katika klabu hiyo amedai kwamba mkataba wake utakapoisha ataondoka klabuni hapo kwa kuwa anaona hahitajiki.

banner

Yanga imesafiri leo kuwafata Mwadui Fc mkoani Shinyanga kwa kutumia usafiri wa basi huku ikiacha baadhi ya mastaa kwa sababu mbalimbali.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.