Home Soka Makambo avunja mkataba na Horoya

Makambo avunja mkataba na Horoya

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa klabu ya Horoya ya Guinea Mkongomani Heritier Makambo amefikia makubaliano  kuvunja mkataba na timu kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Makambo alijiunga na Horoya 2019 akitokea kwa wananchi Yanga Afrika alikocheza kwa mafanikio makubwa kwa kufunga mabao 18 ya ligi kuu ya Vodacom kabla ya kuondoka.

Hatua hiyo inahusishwa na mshambuliaji huyo kutakiwa tena na waajiri wake wa zamani ambao wamekuwa wakihaha kupata mrithi wake tangu aondoke bila mafanikio,licha ya kusajiri washambulia kadhaa kama Juma Balinya,David Molinga,Yikpe,Sarpong,Waziri Junior na Nchimbi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.