Wednesday, May 7, 2025
Home Soka Kiungo Yanga sc Atua Ihefu

Kiungo Yanga sc Atua Ihefu

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa zamani wa klabu ya Yanga sc Rafael Daud Loth amejiunga na klabu ya Ihefu Fc miezi sita baada ya usajili wake wa awali kujiunga na Mwadui Fc kukwama.

Daud ni mmoja ya viungo washambuliaji wazoefu huku wakiwa na kimo kizuri kuweza kuhimili mikiki ya viwanjani ambapo aling’ara zaidi akiwa na Yanga sc aliyojiunga nayo msimu wa 2017 akicheza kwa muda wa miaka miwili.

Loth ataisaidia Ihefu ambayo imekua na matokeo yasiyoridhisha kiasi cha kutishia uhai wake katika ligi kuu nchini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.