Tuesday, May 6, 2025
Home Soka Kalengo,Bigirimana Warejea Kwao

Kalengo,Bigirimana Warejea Kwao

by Sports Leo
0 comments

Iko hivi mastaa wawili wa klabu ya Yanga Mybin Kalengo na Issa Bigirimana wamerejea nchini kwao kwenda kujiuguza majereaha waliyoyapata wakati wakiitumikia timu hiyo hapa nchini.

Kalengo amerejea nchini Zambia baada ya kufanyiwa upasuaji wa mguu alioumia wakati wa mchezo wa kirafiki dhidi ya Pamba mkoani Mwanza huku Bigirimana anaendelea na matibabu ya nyama za paja ambazo zinamsumbia kwa muda mrefu.

Mastaa hao wote wameshindwa kuitumika timu hiyo kwa muda mrefu baada ya kusumbuliwa na majeraha na hivyo kuweka rehani nafasi zao kikosini humo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.