Thursday, May 8, 2025
Home Soka Kakolanya Aliamsha Simba sc

Kakolanya Aliamsha Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Inasemekana Uongozi wa kipa wa Simba , Beno Kakolanya umefikia pazuri kwenye mazungumzo Juu ya kumpeleka kipa huyo katika timu mpya kwa msimu ujao baada ya kukosa namba katika klabu ya Simba sc.

Beno ametokea kuvivutia vilabu viwili huku ikifahamika kimoja ni cha ndani ya nchi huku klabu nyingine ikitajwa kuwa  ni ya nje nchi japo haijafahamika wazi ni nchi gani.

Mazungumzo kwa vilabu vyote yanaenda vizuri na mwishoni mwa msimu huu uongozi wake utaamua aende wapi kucheza soka huku pia habari za ndani zikidai kuwa mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya ndani ya Simba sc yamesimama kwasasa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.