Wednesday, May 7, 2025
Home Soka Chama,Kahata Kutua Wiki Ijayo

Chama,Kahata Kutua Wiki Ijayo

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa timu ya Simba, Sven Vandenbroeck amesema anatarajia viungo Clatous Chama na Francis Kahata watatua nchini wiki ijayo tayari kujiunga na wenzao katika kujiandaa na ligi itakayo rejea Juni 13.

Sven ambaye ni raia wa ubeligiji amesema kiungo Sharaaf Shiboub atachelewa kidogo kurejea kwakua nchi yake ya Sudan bado haijapunguza vikwazo vya kufungua mipaka kutokana na janga la Corona.

Hata hivyo tayari mastaa wengi wa kimataifa wamejiunga na kambi ya mazoezi ya klabu hiyo kwa kuwa walikua wapo nchini huku wachache waliokua nje ya nchi kama Meddie Kagere tayari ameshawasili.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.