Home Riadha Mkenya Aweka Rekodi Marathoni

Mkenya Aweka Rekodi Marathoni

by Sports Leo
0 comments

Raia wa Kenya Elliud Kipchoge ameweka rekodi ya kumaliza mbio za marathoni chini ya masaa mawili wakati alipokimbia kuanzia eneo la darajani na kumalizia eneo la bustani ya prater na kufanikiwa kuweka rekodi hiyo ya dunia.

Bingwa huyo wa dunia wa michuano ya Olimpiki na marathoni mwaka 2016 alitumia jumla ya muda wa 1:59:40 na kuweka rekodi hiyo iliyofanya umati wa watu kupita huku wakimshangilia barabarani.

Ni nadra sana kwa siku za karibuni kwa wanariadha kumaliza mbio za marathoni kwa kutumia muda wa chini ya masaa mawili na kipchoge baada ya kufanikiwa anaingia katika rekodi za dunia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited