Sunday, May 11, 2025
Home Makala Yanga sc Watingisha Dodoma

Yanga sc Watingisha Dodoma

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imelitingisha jiji la Dodoma baada ya kutua asubuhi ya leo na moja kwa moja kuelekea bungeni ambapo walikaribishwa kwa shangwe na wabunge mashabiki wa klabu hiyo.

Yanga sc ambao ni mabingwa mara 27 wa ligi kuu Tanzania bara wameingia jijini Dodoma kuelekea mchezo wa kesho wa ligi kuu dhidi ya Jkt Tanzania ambapo baada ya mchezo huo wataelekea mjini Shinyanga kuwavaa Mwadui Fc katika mchezo wa kombe la Fa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.