Connect with us

Makala

Sibomana Apata Dili Rwanda

Patrick Sibomana ambaye hapo awali alikuwa akiitumikia Yanga Sc amesaini dili la mwaka mmoja kuichezea klabu ya Polisi Rwanda ya Rwanda.

Sibomana mwenye umri wa miaka 25 alimaliza mkataba wake ndani ya Yanga Sc msimu uliopita na alifanikiwa kutupia jumla ya mabao sita ndani ya ligi kuu bara kati ya mabao 45.

Nyota huyo ametua Polisi Rwanda inayoshiriki ligi kuu ya nchini Rwanda japo awali tetesi zilikuwa zinaelezwa kuwa angetua ndani ya SC Kiyovu.

 

 

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala